Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 6:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Solomoni alianza kujenga nyumba ya Mwenyezi-Mungu katika mwaka wa 480 baada ya Waisraeli kutoka Misri. Huo ulikuwa mwaka wa nne wa utawala wa Solomoni juu ya Israeli, katika mwezi wa Zifu, yaani mwezi wa pili.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 6

Mtazamo 1 Wafalme 6:1 katika mazingira