Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 6:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Vyumba vya chini, katika hivyo vyumba vya nyongeza, vilikuwa na upana wa mita 2.25, na ghorofa iliyofuata ilikuwa na upana wa mita 2.75, na ghorofa ya juu kabisa ilikuwa na upana wa mita 3. Ghorofa hizo zilikuwa zimetofautiana kwa upana, kwa sababu Solomoni alikuwa amepunguza kiasi ukuta wa nje kuzunguka nyumba, ili boriti za kutegemeza jengo zisishikamane na kuta.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 6

Mtazamo 1 Wafalme 6:6 katika mazingira