Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 7:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Huyo, alikuwa mwana wa mjane wa kabila la Naftali, na baba yake alikuwa mkazi wa Tiro, mfua shaba. Hiramu alikuwa na hekima nyingi na akili, na fundi stadi wa kazi yoyote ya shaba. Basi, alikuja kwa mfalme Solomoni, akamfanyia kazi yake yote.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 7

Mtazamo 1 Wafalme 7:14 katika mazingira