Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 7:45 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu vile vyungu, sepetu na mabirika, vyombo hivyo vyote vilivyokuwa katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu ambavyo Hiramu alimtengenezea mfalme Solomoni, vilikuwa vya shaba iliyongarishwa.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 7

Mtazamo 1 Wafalme 7:45 katika mazingira