Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 8:64 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku hiyohiyo, mfalme aliiweka wakfu sehemu ya katikati ya ua uliokuwa mbele ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu kwani hapo ndipo alipotolea sadaka za kuteketezwa, sadaka za nafaka, na mafuta ya sadaka za amani; kwa sababu ile madhabahu ya shaba haikutosha sadaka hizo zote.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 8

Mtazamo 1 Wafalme 8:64 katika mazingira