Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 11:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wote ambao walikuwa wamenuia kwa moyo wa dhati kumwabudu Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, kutoka katika makabila yote ya Israeli, waliandamana na Walawi hadi Yerusalemu ili wapate kumtolea tambiko Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zao.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 11

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 11:16 katika mazingira