Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 16:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika mwaka wa kumi na saba wa enzi ya Peka mwana wa Remalia mfalme wa Israeli, Ahazi mwana wa Yothamu mfalme wa Yuda alianza kutawala.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 16

Mtazamo 2 Wafalme 16:1 katika mazingira