Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 24:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Vilevile, pia kama Mwenyezi-Mungu alivyosema, Nebukadneza alichukua mali yote iliyokuwa ndani ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu, na ndani ya ikulu. Alikatakata vyombo vyote vya dhahabu ambavyo Solomoni mfalme wa Israeli alitengeneza. Vyombo hivyo vilikuwa ndani ya hekalu la Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 24

Mtazamo 2 Wafalme 24:13 katika mazingira