Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 5:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Naamani, kamanda wa jeshi la mfalme wa Aramu alikuwa mtu mashuhuri aliyependwa sana na bwana wake, kwani kwa njia yake Mwenyezi-Mungu aliiletea nchi ya Aramu ushindi. Alikuwa askari hodari, lakini alikuwa na ugonjwa wa ukoma.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 5

Mtazamo 2 Wafalme 5:1 katika mazingira