Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 5:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Watumishi wake wakamwendea na kumwambia, “Baba yetu kama nabii angekuambia ufanye jambo fulani gumu, je, hungelifanya? Sasa, aliyokuambia tu ni: ‘Jioshe, ili upone!’”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 5

Mtazamo 2 Wafalme 5:13 katika mazingira