Agano la Kale

Agano Jipya

Amosi 1:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Maneno ya Amosi, mmojawapo wa wachungaji wa mji wa Tekoa. Mungu alimfunulia Amosi mambo haya yote kuhusu Israeli miaka miwili kabla ya lile tetemeko la ardhi, wakati Uzia alipokuwa mfalme wa Yuda, na Yeroboamu mwana wa Yoashi, alipokuwa mfalme wa Israeli.

Kusoma sura kamili Amosi 1

Mtazamo Amosi 1:1 katika mazingira