Agano la Kale

Agano Jipya

Amosi 2:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu asema hivi:“Waisraeli wametenda dhambi tena na tena,kwa hiyo sitaacha kuwaadhibu.Wamewauza watu waaminifukwa kuwa hawakuweza kulipa madeni yao;na kuwauza watu fukarawasioweza kulipa deni la kandambili.

Kusoma sura kamili Amosi 2

Mtazamo Amosi 2:6 katika mazingira