Agano la Kale

Agano Jipya

Amosi 7:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku moja, Bwana Mwenyezi-Mungu alinijalia maono: Nilimwona Mungu anaumba nzige kundi zima, mara baada ya watu kumaliza kukata nyasi kwa ajili ya wanyama wa mfalme. Wakati huo, nyasi zilikuwa ndio zinaanza kuchipua tena.

Kusoma sura kamili Amosi 7

Mtazamo Amosi 7:1 katika mazingira