Agano la Kale

Agano Jipya

Amosi 7:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye akaniuliza: “Amosi, unaona nini?” Nikamjibu, “Naona timazi.” Kisha Mwenyezi-Mungu akasema:“Tazama! Naweka timazi kati ya watu wangu Waisraeli.Sitavumilia tena maovu yao.

Kusoma sura kamili Amosi 7

Mtazamo Amosi 7:8 katika mazingira