Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 1:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini, towashi mkuu akamwambia Danieli, “Nina hofu kwamba bwana wangu mfalme ambaye ametoa maagizo kuhusu chakula na vinywaji unavyopaswa kutumia, ataona kuwa afya yako si nzuri kama ya wenzako wa rika lako. Hivyo maisha yangu yatakuwa hatarini.”

Kusoma sura kamili Danieli 1

Mtazamo Danieli 1:10 katika mazingira