Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 1:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme alitaka vijana wasio na kasoro, wazuri kwa umbo, wenye uzoefu wa kila hekima, wenye akili na maarifa na wanaofaa kutoa huduma katika ikulu. Alitaka pia vijana hao wafundishwe kusoma na kuandika lugha ya Wakaldayo.

Kusoma sura kamili Danieli 1

Mtazamo Danieli 1:4 katika mazingira