Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 10:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwili wake ulingaa kama zabarajadi safi. Uso wake ulifanana na umeme, na macho yake yaliwaka kama miali ya moto. Miguu na mikono yake ilingaa kama shaba iliyosuguliwa sana. Sauti yake ilivuma kama sauti ya umati mkubwa wa watu.

Kusoma sura kamili Danieli 10

Mtazamo Danieli 10:6 katika mazingira