Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 11:36 Biblia Habari Njema (BHN)

“ ‘Mfalme atafanya kama apendavyo. Atajitukuza na kujikweza kwamba yeye ni mkuu kuliko miungu yote, na kumkufuru Mungu wa miungu. Ataendelea kufanikiwa mpaka ghadhabu ifikie kikomo chake, kwani yaliyopangwa lazima yatimie.

Kusoma sura kamili Danieli 11

Mtazamo Danieli 11:36 katika mazingira