Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 11:40 Biblia Habari Njema (BHN)

“ ‘Wakati wa mwisho mfalme wa kusini atamshambulia mfalme huyo wa kaskazini. Lakini mfalme wa kaskazini atajibu mashambulio hayo kwa nguvu kama kimbunga, akitumia magari ya farasi, wapandafarasi na meli nyingi. Atazivamia nchi nyingi na kupita katika nchi hizo kama mafuriko ya maji.

Kusoma sura kamili Danieli 11

Mtazamo Danieli 11:40 katika mazingira