Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 12:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Yule mtu aliyesimama upande wa juu wa mto, amevaa mavazi ya kitani, akainua mikono yake yote miwili kuelekea mbinguni. Kisha nikamsikia akiapa kwa jina la yule aishiye milele: ‘Itakuwa muda wa nyakati tatu na nusu. Wakati mateso ya watu watakatifu yatakapokomeshwa, mambo haya yote yatakuwa yametimia.’

Kusoma sura kamili Danieli 12

Mtazamo Danieli 12:7 katika mazingira