Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 2:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme akawaambia, “Nimetoa kauli yangu kamili: Ikiwa hamtanijulisha ndoto yenyewe na maana yake, mtangolewa viungo vyenu kimojakimoja, na nyumba zenu zitabomolewa.

Kusoma sura kamili Danieli 2

Mtazamo Danieli 2:5 katika mazingira