Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 3:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, mfalme Nebukadneza akashangaa, akainuka kwa haraka na kuwauliza washauri wake, “Je, hatukuwafunga watu watatu na kuwatupa motoni?” Nao wakamjibu mfalme, “Naam, mfalme! Ndivyo!”

Kusoma sura kamili Danieli 3

Mtazamo Danieli 3:24 katika mazingira