Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 4:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini acheni kisiki chake na mizizi yake ardhini, kwenye majani mabichi ya kondeni kikiwa kimefungwa hapo kwa mnyororo wa chuma na shaba. Mwacheni mtu huyo aloweshwe kwa umande wa mbinguni; mwacheni aishi pamoja na wanyama wa porini na kula nyasi mbugani.

Kusoma sura kamili Danieli 4

Mtazamo Danieli 4:15 katika mazingira