Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 4:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo, Danieli, aliyeitwa pia Belteshaza, akashangaa kwa muda, na fikira zake zikamfadhaisha. Mfalme akamwambia, “Belteshaza, ndoto hii, wala maana yake visikufadhaishe!” Belteshaza akamjibu, “Bwana wangu, laiti ndoto hii na maana yake ingewahusu adui zako!

Kusoma sura kamili Danieli 4

Mtazamo Danieli 4:19 katika mazingira