Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 4:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Tena amri ile ya kukiacha kisiki na mizizi ya mti huo ardhini ina maana hii: Wewe utarudishiwa tena ufalme wako hapo utakapotambua kwamba Mungu wa mbinguni ndiye atawalaye.

Kusoma sura kamili Danieli 4

Mtazamo Danieli 4:26 katika mazingira