Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 4:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye, akaja Danieli, anayeitwa pia Belteshaza, jina la mungu wangu, ambaye roho ya miungu mitakatifu imo ndani yake. Nami nikamsimulia ndoto yangu, nikasema:

Kusoma sura kamili Danieli 4

Mtazamo Danieli 4:8 katika mazingira