Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 5:12 Biblia Habari Njema (BHN)

kwa sababu ana roho njema, maarifa, ujuzi wa kufasiri ndoto, kufumbua mafumbo na kutatua matatizo. Jina la mtu huyo ni Danieli ambaye baba yako alimwita Belteshaza. Basi na aitwe, naye atakueleza maana ya maandishi haya.”

Kusoma sura kamili Danieli 5

Mtazamo Danieli 5:12 katika mazingira