Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 5:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Belshaza akapaaza sauti waletwe wachawi, Wakaldayo wenye hekima na wanajimu waletwe. Walipoletwa, mfalme akawaambia wenye hekima hao wa Babuloni, “Yeyote atakayesoma maandishi haya na kunijulisha maana yake, atavishwa mavazi rasmi ya zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni mwake, na kupewa nafasi ya tatu katika ufalme.”

Kusoma sura kamili Danieli 5

Mtazamo Danieli 5:7 katika mazingira