Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 8:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Nilipoinua macho yangu, niliona kondoo dume amesimama kando ya mto huo. Kondoo huyo alikuwa na pembe mbili ndefu, lakini moja ilikuwa ndefu zaidi, nayo ilitokea baada ya ile nyingine.

Kusoma sura kamili Danieli 8

Mtazamo Danieli 8:3 katika mazingira