Agano la Kale

Agano Jipya

Danieli 9:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtawala huyo atafanya mapatano imara na watu wengi kwa muda wa miaka saba. Baada ya nusu ya muda huo atakomesha tambiko na sadaka. Mahali pa juu hekaluni patasimamishwa chukizo haribifu, nalo litabaki hapo mpaka yule aliyelisimamisha atakapoangamizwa kama ilivyopangwa na Mungu.’”

Kusoma sura kamili Danieli 9

Mtazamo Danieli 9:27 katika mazingira