Agano la Kale

Agano Jipya

Esta 3:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Hamani akamwambia mfalme: “Wapo watu wa taifa fulani walioko kila mahali katika utawala wako, nao wako katika kila mkoa. Watu hao wana sheria zilizo tofauti kabisa na za watu wengine. Isitoshe, wao hawazitii sheria zako, kwa hiyo haikufaidi chochote kuwavumilia.

Kusoma sura kamili Esta 3

Mtazamo Esta 3:8 katika mazingira