Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 11:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Nilipokuwa natabiri, Pelatia mwana wa Benaya akafariki. Nami nikaanguka kifudifudi, nikalia kwa sauti kubwa, nikisema, “Ee Bwana Mwenyezi-Mungu, je, utawamaliza kabisa Waisraeli waliobaki?”

Kusoma sura kamili Ezekieli 11

Mtazamo Ezekieli 11:13 katika mazingira