Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 11:16 Biblia Habari Njema (BHN)

“Lakini, waambie hao walio uhamishoni kuwa mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Ingawa nimewapeleka mbali miongoni mwa mataifa na kuwatawanya katika nchi nyingine, hata hivyo, kwa wakati uliopo mimi nipo pamoja nao huko waliko.

Kusoma sura kamili Ezekieli 11

Mtazamo Ezekieli 11:16 katika mazingira