Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 30:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Mikono ya mfalme wa Babuloni nitaiimarisha, lakini mikono ya Farao italegea. Hapo watu watatambua kuwa mimi ni Mwenyezi-Mungu. Nitakapotia upanga wangu mkononi mwa mfalme wa Babuloni, ataunyosha dhidi ya nchi ya Misri,

Kusoma sura kamili Ezekieli 30

Mtazamo Ezekieli 30:25 katika mazingira