Agano la Kale

Agano Jipya

Ezekieli 32:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Wamelazwa na jeshi lao miongoni mwa wale waliouawa vitani. Wamezungukwa na makaburi ya wanajeshi wake wote waliouawa vitani na ambao wote hawamjui Mungu. Walipokuwa bado wanaishi walieneza vitisho vyao katika nchi ya walio hai, na sasa wako hapo wamejaa aibu pamoja na wale waliouawa vitani.

Kusoma sura kamili Ezekieli 32

Mtazamo Ezekieli 32:25 katika mazingira