Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 10:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, Ezra akaondoka mbele ya nyumba ya Mungu, akaenda nyumbani kwa Yehohanani, mwana wa Eliashibu. Huko, Ezra alilala usiku kucha bila kula wala kunywa maji, kwa huzuni aliyokuwa nayo juu ya ukosefu wa imani ya watu waliotoka uhamishoni.

Kusoma sura kamili Ezra 10

Mtazamo Ezra 10:6 katika mazingira