Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 4:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Zerubabeli, Yeshua na viongozi wengine wa koo za Israeli wakawaambia, “Sisi hatuhitaji msaada wowote kutoka kwenu ili kuijenga nyumba ya Mungu wetu. Sisi wenyewe tutamjengea Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, kama mfalme Koreshi wa Persia alivyotuamuru.”

Kusoma sura kamili Ezra 4

Mtazamo Ezra 4:3 katika mazingira