Agano la Kale

Agano Jipya

Ezra 7:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Ezra aliondoka Babuloni, yeye alikuwa mwandishi mwenye ujuzi mwingi sana katika sheria ambayo Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, alikuwa amempatia Mose. Na kwa msaada wa Mwenyezi-Mungu, Mungu wake, mfalme alimpatia Ezra kila kitu alichohitaji.

Kusoma sura kamili Ezra 7

Mtazamo Ezra 7:6 katika mazingira