Agano la Kale

Agano Jipya

Hagai 1:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Nyinyi mmepanda mbegu kwa wingi, lakini mmevuna kidogo; mnakula, lakini hamshibi; mnakunywa divai, lakini hamtosheki; mnavaa nguo, lakini bado mnasikia baridi; mfanyakazi mshahara wake huwa kama umetumbukizwa katika mfuko uliotoboka.”

Kusoma sura kamili Hagai 1

Mtazamo Hagai 1:6 katika mazingira