Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 1:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mnamo siku ya kwanza ya mwezi wa pili, mwaka wa pili baada ya wana wa Israeli kutoka Misri, Mwenyezi-Mungu aliongea na Mose ndani ya hema la mkutano jangwani Sinai, akamwambia hivi:

Kusoma sura kamili Hesabu 1

Mtazamo Hesabu 1:1 katika mazingira