Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 12:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu ghafla, Mwenyezi-Mungu akawaambia Mose, Aroni na Miriamu, “Njoni katika hema la mkutano, nyinyi watatu.” Basi, wote watatu wakaenda kwenye hema la mkutano.

Kusoma sura kamili Hesabu 12

Mtazamo Hesabu 12:4 katika mazingira