Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 15:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya jumuiya yote ya Waisraeli, nao watasamehewa kwa sababu si kosa lililokusudiwa, na wameleta sadaka yao, sadaka ya kuteketeza kwa Mwenyezi-Mungu kama tambiko na sadaka ya kuondoa dhambi kwa ajili ya kosa lao.

Kusoma sura kamili Hesabu 15

Mtazamo Hesabu 15:25 katika mazingira