Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 15:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana amekataa yale aliyosema Mwenyezi-Mungu na kuvunja mojawapo ya amri zake. Mtu huyo atakatiliwa mbali kabisa; na lawama ya kifo chake itakuwa juu yake mwenyewe.”

Kusoma sura kamili Hesabu 15

Mtazamo Hesabu 15:31 katika mazingira