Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 16:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Alipofika, akawaambia watu, “Tafadhalini ondokeni kwenye hema za watu hawa waovu na msiguse kitu chao chochote, msije mkaangamizwa pamoja nao kwa sababu ya dhambi zao zote.”

Kusoma sura kamili Hesabu 16

Mtazamo Hesabu 16:26 katika mazingira