Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 16:40 Biblia Habari Njema (BHN)

Hili lilikuwa onyo kwa Waisraeli kwamba mtu yeyote ambaye si kuhani, yaani asiye wa ukoo wa Aroni asiende madhabahuni kumfukizia Mwenyezi-Mungu ubani. La sivyo ataangamizwa kama Kora na wafuasi wake. Haya yote yalitendeka kama Mwenyezi-Mungu alivyomwambia Eleazari kwa njia ya Mose.

Kusoma sura kamili Hesabu 16

Mtazamo Hesabu 16:40 katika mazingira