Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 16:47 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Aroni akafanya kama alivyoambiwa na Mose. Alichukua chetezo chake na kukimbia hadi katikati ya watu waliokuwa wamekusanyika pamoja. Alipoona kwamba pigo limekwisha anza, alitia ubani katika chetezo na kuwafanyia watu upatanisho.

Kusoma sura kamili Hesabu 16

Mtazamo Hesabu 16:47 katika mazingira