Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 16:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha akamwambia Kora na wafuasi wake, “Kesho asubuhi, Mwenyezi-Mungu ataonesha ni nani aliye wake na ni nani aliye mtakatifu, naye atakayemchagua, atamwezesha kukaribia madhabahuni.

Kusoma sura kamili Hesabu 16

Mtazamo Hesabu 16:5 katika mazingira