Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 17:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu akamwambia Mose, “Irudishe fimbo ya Aroni mbele ya sanduku la agano. Hiyo itatunzwa mahali hapo, na ni onyo kwa waasi hao kwamba wasipoacha kuninungunikia, watakufa.”

Kusoma sura kamili Hesabu 17

Mtazamo Hesabu 17:10 katika mazingira