Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 2:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo ndivyo, Waisraeli walivyofanya kila kitu kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru Mose. Walipiga kambi zao, kufuata bendera zao na walisafiri kila mmoja akiandamana na jamaa yake kwa kufuata ukoo wake.

Kusoma sura kamili Hesabu 2

Mtazamo Hesabu 2:34 katika mazingira