Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 22:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Njoo sasa uwalaani watu hawa kwa ajili yangu maana wana nguvu kuliko mimi. Labda nitaweza kuwashinda na kuwafukuza wasiingie katika nchi yangu, kwa maana najua kuwa wewe ukimbariki mtu hubarikiwa, ukimlaani mtu hulaaniwa.”

Kusoma sura kamili Hesabu 22

Mtazamo Hesabu 22:6 katika mazingira